BONDIA KASSIM MBUNDWIKE AMEFUZU HATUA YA ROBO FAINALI KATIKA MASHINDANO YA JUMUIYA YA MADOLA
service image
03 Aug, 2022

 

Bondia Kassim Mbundwike amemshinda mpinzani wake bondia Pafio wa Cyprus na kufuzu kuingia robo fainali ya mapambano ya ngumi za ridhaa katika mashindano ya Jumuiya ya Madola yanayoendelea jijini Birmingham nchini Uingereza

Kwa matokeo hayo Tanzania sasa ina mabondia wawili walioingia katika hatua ya robo fainali