TUZO ZA BMT 2023
service image
09 Jun, 2024

Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akipokea Tuzo ya heshima kutoka kwa Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Damas Ndumbaro yenye lengo la kutambua mchango wake katika sekta ya michezo Juni 09 2024 wakati wa Tuzo za michezo zinazoratibiwa na Baraza la Michezo la Taifa (BMT